Rose Muhando – Simba Lyrics

Download mp3

Play Audio

Simba Lyrics – Rose Muhando

Simba lololo, simba anaguruma
Simba lelele, simba anaguruma
Simba wa kike anaguruma leo, simba anaguruma
Simba nyikani anaguruma wowo, simba anaguruma
Simba porini anaguruma leo, simba anaguruma

Mwambieni yule mbweha, nimerudi kutoka njangwani
Nimesimama tena kwenye zamu yangu
Wapeni habari wale umbwa
Hii si bahati mbaya, mbingu zimeniamini 
Mungu amenidhibitisha

Mpe salamu Yezebeli
Nimerudi kutoka njangwani
Nimesimama tena kwenye zamu yangu
Wapeni habari wale umbwa
Hii si bahati mbaya, mbingu zimeniamini 
Mungu amenidhibitisha

Simba lololo, simba anaguruma
Simba lelele, simba anaguruma
Simba anaguruma, simba anaguruma
Simba anaguruma, simba anaguruma

Kumcha bwana ndio jeuri yangu, simba
Kumjua Mungu ndio jeuri yangu, simba yeyee
Malengo yangu mimi ni Mungu wangu, simba yeyee
Fahari yangu mimi ni Mungu wangu, simba yeyee
Simba lelele (Mawindoni niko mawindoni)

Simba wa kike hodari katikati ya mawindo
Nitatenda kwa akili, kuyafumbua mafumbo
Nitanguruma alfajiri, jioni nilete mawindo
Sitanyamaza mpaka Mungu anipatie utukufu
Simba lelele (Mawindoni niko mawindoni)

I’m a champion (Yeah yeah)
Champion (Yeah yeah)
Super champion (Oh Yeah yeah)
Mimi champion, I’m a winner 

I’m a champion (Yeah yeah)
Champion (Yeah yeah)
Super champion (Oh Yeah yeah)
Mimi champion, I’m a winner 

I’m a champion (Yeah yeah)
Champion (Yeah yeah)
Super champion (Oh Yeah yeah)
Mimi champion, I’m a winner 

Simba lololo, simba

Rose Muhando – Simba Lyrics

By admin

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *