Rose Muhando – Masekete Lyrics

Download mp3

Play Audio

Masekete Lyrics – Rose Muhando

Baba nimekuja kwako
Nagonga mlango unifungulie 
Baba nimekuja kwako
Nagonga mlango unifungulie 

Bwana Yesu nimekuja kwako
Nagonga mlango unifungulie 
Bwana Yesu nimekuja kwako
Nagonga mlango unifungulie 

Masekete, ayee masekete
Wachawi wachawi masekete, ayee masekete
Masekete, ayee masekete
Masekete, ayee masekete

Yana miiba kwenye mikongo, ayee masekete
Naogopa kuvunja shingo, ayee masekete
Bwana Yesu njoo njoo, ayee masekete
Madanga madanga masekete, ayee masekete

Fukuza shetani, haiya haiya haiya
Nasema fukuza, haiya haiya haiya
Fukuza wachawi, haiya haiya haiya
Wakija na , haiya haiya haiya
Wakibeba marungu, haiya haiya haiya
Kwa jina la Yesu, haiya haiya haiya
Wakija na mavisu, haiya haiya haiya
Nasema mwizi, haiya haiya haiya

Nimekuja kwako nimechoka sana nibebe
Maneno ni mengi yanaleta joto,nibebe
Kwenye mbawa zako nitulie, Yesu nibebe
Nina mwana joto joto nibebe eeh

Yesu nibebe, Yesu nibebe
Yesu nibebe, Yesu nibebe
Yesu nibebe, Yesu nibebe
Yesu nibebe, Yesu nibebe

Yesu nibebe, Yesu nibebe
Yesu nibebe, Yesu nibebe
Yesu nibebe, Yesu nibebe
Yesu nibebe, Yesu nibebe

Rose Muhando – Masekete Lyrics

By admin

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *